“Ni nani atakayenitunzia watoto wangu?” analia mama anayekufa, akijua kwamba watoto wake hivi karibuni watajiunga na mamilioni ya wengine kote duniani kumtafuta mama mpya. Nimewaona marafiki wanaougua saratani wakilia maombi hayo hayo. Siwezi kufikiria juu ya afueni kuu ya moyo, au mauguzi makuu yanayosikika nyakati za giza kuu
Nataka kumpigia yowe nimwambie. “TUTAKUTUNZIA” Hii kwa kweli ni sehemu ambayo twahitaji kujikakamua, kuvumilia, kuomba na KUAMINI, na kutoka kwa imani.