Usifike mwishoni mwa maisha yako ukiwa umejawa na majuto ya hasara ya maisha yako kwa sababu uliyatumia kwa. vitu visivyo na maaana kamwe.......
Wakati ni karama ya ajabu kutoka kwa Mungu, na ni muhimu tuwe waangalifu sana tunatumia wakati wetu kufanya nini. Wajua, mradi tu tumeshautumia mda, hatuwezi kuupata tena. Kuwa na wakati na Mungu huleta thawabu ya ajabu, lakini vitu vingine vingi huleta sisimko lisilo na thamani kwa bei ghali.