Monday, 17 December 2018

Mungu Anakupenda

Usifike mwishoni mwa maisha yako ukiwa umejawa na majuto ya hasara ya maisha yako kwa sababu uliyatumia  kwa. vitu visivyo  na  maaana  kamwe.......

Wakati  ni  karama  ya  ajabu  kutoka  kwa Mungu, na ni muhimu  tuwe waangalifu  sana tunatumia  wakati  wetu kufanya nini.  Wajua, mradi tu tumeshautumia  mda, hatuwezi kuupata tena.  Kuwa na wakati  na Mungu huleta  thawabu  ya ajabu,  lakini  vitu vingine vingi huleta sisimko lisilo na thamani kwa bei ghali.