Muhubiri 5:3 kwa maana ndoto huja kwasababu ya shughuli nyingi....kwasababu baadhi yetu tunandoto na hatutaki kufanya kazi na wakati mwingine hatuna budi kupitia hali ngumu.
Naamini unapokuwa na ndoto ni kama unapokuwa na ujauzito,kuna wanawake wachache ambao huweza kujifungua bila uchungu lakini si wengi sana.Nafikiri kwamba ukitaka kuzalisha kitu lazima ufahamu kwamba ni zaidi ya kuwa na wazo nzuri,Unakuwa na ndoto,unakuwa na matumaini,unakuwa na mpango lakini lazima uwe tayari kufanya kazi na kupitia yale ambayo unapaswa kupitia ili ndoto yako iweze timia.
The mission Of Mawaidha Popote is to Prepare the Nations of the world for the coming of Jesus Christ and establishment of the kingdom of God on Earth.our ultimate goal is to achieve a time in history when "the knowledge of the Lord will cover the earth as the waters cover the sea".
Wednesday, 17 April 2019
Wednesday, 20 March 2019
SAFARI YA MOYO
“Ni nani atakayenitunzia watoto wangu?” analia mama anayekufa, akijua kwamba watoto wake hivi karibuni watajiunga na mamilioni ya wengine kote duniani kumtafuta mama mpya. Nimewaona marafiki wanaougua saratani wakilia maombi hayo hayo. Siwezi kufikiria juu ya afueni kuu ya moyo, au mauguzi makuu yanayosikika nyakati za giza kuu
Nataka kumpigia yowe nimwambie. “TUTAKUTUNZIA” Hii kwa kweli ni sehemu ambayo twahitaji kujikakamua, kuvumilia, kuomba na KUAMINI, na kutoka kwa imani.
Nataka kumpigia yowe nimwambie. “TUTAKUTUNZIA” Hii kwa kweli ni sehemu ambayo twahitaji kujikakamua, kuvumilia, kuomba na KUAMINI, na kutoka kwa imani.
Subscribe to:
Posts (Atom)