ALIPOWAONA VITOTO VICHANGA VYA KIKE…
Ibn Ishaq: Suhayli, 2.79: katika Riwaya ya Yunus Ibn Ishaq, imenukuliwa kuwa mtume aliona Ummu’l-Fadl, alipokuwa kitoto kichanga kikitambaa chini mbele yake na mtume akasema, “akikuwa mkubwa, na wakati ningali mzima, nitamuoa.”
Mohammad aliona Um Habiba binti wa Abbas akiwa bado mchanga na akasema, “akiwa
mkubwa na ningali mzima nitamuoa.”
mkubwa na ningali mzima nitamuoa.”
Astaghfillurah
No comments:
Post a Comment