Tuesday, 10 October 2017

Uroho na Tamaa ya Ngono Vilimfanya Mohammad Ashindwe Kuvumilia


ALIPOWAONA VITOTO VICHANGA VYA KIKE…
Ibn Ishaq: Suhayli, 2.79: katika Riwaya ya Yunus Ibn Ishaq, imenukuliwa kuwa mtume aliona Ummu’l-Fadl, alipokuwa kitoto kichanga kikitambaa chini mbele yake na mtume akasema, “akikuwa mkubwa, na wakati ningali mzima, nitamuoa.”
Mohammad aliona Um Habiba binti wa Abbas akiwa bado mchanga na akasema, “akiwa
mkubwa na ningali mzima nitamuoa.”
Astaghfillurah

No comments:

Post a Comment