Tuesday, 10 October 2017

MUHAMMAD MPAKA WANJA

 

Wengi tunajua vipodozi kama wanja,Rangi ya mdomo na Urembo wakubadirisha rangi ya ngozi Hutumia zaidi wanawake.lakini kabla ya kujiuliza shaka hii kubwa,Lazima Tujue historia ya kupaka wanja ,na rangi mdomoni ilianza lini?.zamani sana na inasadikikia mambo haya yalianza Huko Uarabuni,wanawake wa Kimisri wakiwa Hodari kwenye kujipakapaka Huko.Hii ilikuwa Tamaduni ambayo ilikuwa inamaana kubwa kwa jamii.kwa mfano Tunaweza Ona jamii za kiafrika kama wanyamwezi,wadigo,wabondei iwapo Binti anakaribia kuvunja ungo,humweka ndani na kumpaka majivu na baada ya kutoka mabibi humpaka wanja na kwa kitendo hiki huashiria kwamba Binti Huyo yuko Tayari kwa ajili yakupata Bwana,Hivyohivyo Uarabuni.


Kwahiyo wanja ulikuwa na maana kubwa sana kwa jamii za zamani hadi sasa ingawa zimepungua kwa kiasi flani,kwenye jamii za kiarabu,Mwanamke aliyepaka wanja na Rangi nyekundu mdomoni hupeleka ujumbe kwa wanaume kwamba Yeye anahamu ya Ngono,midomo ya uchi wake inageuka kuwa nyekundu kama ile iliyopakwa kwenye Usoni,Na kitendo Hiko huwaashiria wanaume kwamba mwanamke Huyu anashida ya Ngono!!

Wanasayansi wakongwe kama Deus Hans,Desmond Morris katiaka vitabu vyao wamekubali jambo Hili kuwa mwanamke anapopaka wanja na Rangi za mdomoni Hufananisha midomo ya usoni na midomo ya uke inapovimba na kuwa mekundu Pale mwanamke anapokuwa na hamu kali ya kufanya ngono.(karne ya19).

Japokuwa siku za Leo wanawake Upaka kama urembo Bila kuashiria kitu kingine chochote,lakinikatika nyakati za Muhammad,Mwanamke anayepaka wanja na rangi za mdomoni huuashiria mambo kadhaa kama kuwa na Hamu ya kingono au kuvunja ungo,Hizo ndyo desturi kubwa zilikuwepo kwenye jamii za kiarabu.

Tunasoma katika Sunan Ibn Majah,Hadith No309 Muhammad pia alikuwa anatembea na Kio na wanja.

Maisha ya Muhammad kipengele cha mavazi Na26 “Muhammad alikuwa na kitana cha pembe akichania nywele zake,Alikuwa na mafuta na Alikuwa na Kioo akijitazama na Kichupa cha WANJA ambao akijitia usiku kabla ya kulala na Alipenda sana kutumia manukato…..”
Kulingana na tamaduni za waarabu Je Muhammad alikuwa na Maana gani kujipodoa huko?
Kupaka wanja na rangi mdomoni humuashiria mwanaume kuwa mwanamke huyu anahamu ya ngono J au Binti yuko tayari kwa ajili ya kuolewa!!
Je Muhammad alikuwa anahitaji nini Kwa kujipodoa huko??
Kutukana ni ishara akili yako imefika mwisho.
Njoo na Hoja. 
HUU NI MSIBA MKUBWA KWA UISLAM.

4 comments:

  1. mmmmh kwanini sasa alikuwa anapaka wanja

    ReplyDelete
  2. HUU MDA ULIOPOTEZA KUANDIKA HAYA UNGEFANYA MAMBO MENGINE YA MAANA HIVI NDUGU UNAMFAHAM MUHAMMED?? KISHA UNACHORA KUMUASHIRIA UMEKOSEA SANA SANA ILA UTAKUJA KUJUTA MAJUTO MAKUBWA.

    ReplyDelete
  3. 🌹 Ushuhuda Wangu Kuhusu Dkt. Dawn – Mtu Aliyerejesha Nyumba Yangu na Furaha Yangu

    Nataka kushiriki ushuhuda wangu wa dhati kuhusu jinsi Dkt. Dawn alivyobadilisha maisha yangu kabisa.

    Kwa karibu mwaka mmoja, mume wangu aliniacha mimi na watoto wetu wawili. Aliacha kujali, akaacha kupiga simu, na alikuwa ameenda kabisa. Nilikuwa nimevunjika moyo, nimechanganyikiwa, na karibu kupoteza tumaini. Kisha siku moja, rafiki aliniambia kuhusu Dkt. Dawn, mtu wa kiroho aliyepewa kipawa na ulimwengu kuwasaidia watu kurejesha upendo na amani.

    Mwanzoni, nilikuwa na shaka, lakini kitu kuhusu maneno yake kilinipa amani. Aliniambia haswa kilichokuwa kibaya na kwamba mtu alikuwa ametupa uchawi mkali kututenganisha. Aliandaa kazi maalum ya kiroho na uchawi wa kuungana tena kwangu — na ndani ya siku chache, mume wangu alinipigia simu ghafla, akilia na kuomba msamaha.

    Tangu wakati huo, maisha yangu hayajawahi kuwa sawa. Ndoa yetu sasa ni tamu na yenye furaha zaidi duniani. Tunapendana zaidi kuliko hapo awali, na nyumba yetu imejaa vicheko na baraka.

    Lakini si hayo tu — Dkt. Dawn pia alisaidia kuondoa bahati mbaya na nishati hasi iliyokuwa ikizunguka familia yetu. Tangu wakati huo, kila kitu kimekuwa laini: amani nyumbani kwetu, maendeleo ya kifedha, afya njema, na furaha safi.

    Ninashukuru ulimwengu kila siku kwa kuniongoza kwa Dkt. Dawn. Kwa kweli ni mtu mwenye nguvu na mwanga wa kimungu. Ikiwa unapitia hali yoyote — huzuni, bahati mbaya, au mkanganyiko — usikate tamaa. Mfikie na uache ulimwengu ufanye kazi kupitia yeye ili kubadilisha hadithi yako, kama vile alivyobadilisha yangu.

    Wasiliana naye kwenye WhatsApp: +2349046229159
    Barua pepe: dawnacuna314@gmail.co

    ReplyDelete
  4. Ushuhuda

    Nilivunjika moyo kabisa uhusiano wangu ulipoisha. Niliamini kweli kwamba nilikuwa nimepoteza mpenzi wa maisha yangu milele. Kisha nikampata Dkt. Dawn, na kila kitu kikabadilika.
    Kwa wema, hekima, na mwongozo wenye nguvu, alirudisha upendo niliodhani ulikuwa umetoweka. Leo, tuna furaha zaidi kuliko hapo awali!
    Dkt. Dawn aligeuza machozi yangu kuwa furaha kweli.

    Dkt. Dawn Anaweza Kukusaidia Kwa:

    ✅ Uchawi wa Mapenzi
    ✅ Uchawi wa Mimba
    ✅ Kurejesha Ndoa / Uhusiano
    ✅ Tiba za Mimea kwa VVU, Ugonjwa wa Figo, Matatizo ya Moyo, Maambukizi, na zaidi

    📧 Barua pepe: dawnacuna314@gmail.com
    📞 Simu/WhatsApp: +2349046229159

    Usiteseke kimya kimya. Dkt. Dawn anaweza kurudisha furaha maishani mwako!

    ReplyDelete