Monday, 16 July 2018

Iache Hali Yako Ya Zamani

Yale  yaliyokuwa  kweli  katika  maisha  ya  Paulo  ni  kweli  katika maisha  yako  vile  vile.  Wewe  pia  ni  “kiumbe  kipya  [ambayo  ni matokeo ya kuzaliwa mara  ya pili na asili mpya katika Kristo Yesu,  Masihi],”  na  pia  unaweza  kupokea  “mapya  sasa  yamekuja.” Huko  jinsi  ulivyokuwa  awali. Mungu amefanya mengi sana katika maisha yako—amekubadilisha. 

Nina  hakika,  wewe  kama  mimi, uko mbali  sana na kuwa mkamilifu, lakini pia nina hakika  kwamba umeendelea  na kwamba umepiga hatua Kama ungetulia na kufikiria juu ya jinsi ullivyokuwa zamani— mambo yaliyokuwa yanakusumbua — ungesisimka sana juu ya jinsi Mungu alivyokutoa mbali. kubwa katika kuyafikia mabadiliko mazuri. Kama  ungetulia  na  kufikiria  juu  ya  jinsi ulivyokuwa  zamani—mambo  yaliyokuwa yanakusumbua  —ungesisimka  sana  juu  ya jinsi Mungu alivyokutoa mbali.


Kijana wangu, Joel, alikuwa anaongea nami  asubuhi ya leo kuhusu  bwana fulani wanayecheza  golfu  pamoja.  Huyu bwana  alimwambia Joel kwamba  mke wake, ingawa ni  Mkristo, hajawahi  kusahau  jinsi alivyonyanyaswa wakati  alipokuwa mtoto. Kwa miaka kadhaa sasa amekuwa na matatizo ya kiakili na kihisia  na sasa ana matatizo mengi  ya  kimwili kutokana na  msongo wa  ndani anaoishi nao. Mimi na Joel tulipoongelea  suala hilo na kujadiliana kwa  nini  watu wengine  walio na historia sawa na hiyo hupona kabisa, na ilhali wengine  hawaponi,  sote  tulifikia  jibu  moja.  Ikiwa  tunataka  kupona kutokana  na uchungu  wa maisha  ya zamani,  lazima tuamini kweli kwamba  tu  viumbe  vipya  katika  Kristo.

Lazima  tuachane  kabisa  na na yule mtu wa kale tuliyekuwa na tujifunze kuishi  maisha  ya ufufuo tuliyopewa  na  Yesu.  Lazima  tuache  kujitambulisha  na  mtu  wetu wa zamani mwenye  dhambi, aliyejeruhiwa,  au  aliyenyanyaswa na tuanze kujitambulisha na mtu mpya tuliyeumbwa katika Kristo. Katika maisha ya mwamini, matumiani msingi  wake ni ule uelewa  kwamba Mungu hubadilisha mambo. Mabadiliko, kuzaliwa upya,  kugeuzwa:  Hii  ndiyo  Iache Hali Yako Ya Zamani.

Yale  yaliyokuwa  kweli  katika  maisha  ya  Paulo  ni  kweli  katika maisha  yako  vile  vile.  Wewe  pia  ni  “kiumbe  kipya  [ambayo  ni matokeo ya kuzaliwa mara  ya pili na asili mpya katika Kristo Yesu,  Masihi],”  na  pia  unaweza  kupokea  “mapya  sasa  yamekuja.” Huko  jinsi  ulivyokuwa  awali. Mungu amefanya mengi sana katika maisha  yako—amekubadilisha.  Nina  hakika,  wewe  kama  mimi, uko mbali  sana na kuwa mkamilifu, lakini pia nina hakika  kwamba umeendelea  na kwamba umepiga hatua Kama ungetulia na kufikiria juu ya jinsi ullivyokuwa zamani— mambo yaliyokuwa yanakusumbua — ungesisimka sana juu ya jinsi Mungu alivyokutoa mbali. kubwa katika kuyafikia mabadiliko mazuri. Kama  ungetulia  na  kufikiria  juu  ya  jinsi ulivyokuwa  zamani—mambo  yaliyokuwa yanakusumbua  —ungesisimka  sana  juu  ya jinsi Mungu alivyokutoa mbali. Kijna wangu, Joel, alikuwa anaongea nami  asubuhi ya leo kuhusu  bwana fulani wanayecheza  golfu  pamoja.  

Huyu bwana  alimwambia Joel kwamba  mke wake, ingawa ni  Mkristo, hajawahi  kusahau  jinsi alivyonyanyaswa wakati  alipokuwa mtoto. Kwa miaka kadhaa sasa amekuwa na matatizo ya kiakili na kihisia  na sasa ana matatizo mengi  ya  kimwili kutokana na  msongo wa  ndani anaoishi nao. Mimi na Joel tulipoongelea  suala hilo na kujadiliana kwa  nini  watu wengine  walio na historia sawa na hiyo hupona kabisa, na ilhali wengine  hawaponi,  sote  tulifikia  jibu  moja.  Ikiwa  tunataka  kupona kutokana  na uchungu  wa maisha  ya zamani,  lazima tuamini kweli kwamba  tu  viumbe  vipya  katika  Kristo.

Lazima  tuachane  kabisa  na na yule mtu wa kale tuliyekuwa na tujifunze kuishi  maisha  ya ufufuo tuliyopewa  na  Yesu.  Lazima  tuache  kujitambulisha  na  mtu  wetu wa zamani mwenye  dhambi, aliyejeruhiwa,  au  aliyenyanyaswa na tuanze kujitambulisha na mtu mpya tuliyeumbwa katika Kristo. Katika maisha ya mwamini, matumiani msingi  wake ni ule uelewa  kwamba Mungu hubadilisha mambo. Mabadiliko, kuzaliwa upya,  kugeuzwa:  Hii  ndiyo  habari  njema  ya  Injili.  Ukiwa  peke yako, ulikuwa umepotea, umepondeka, na mbali na Mungu,  na bila  matumaini.  Lakini  kwa  sababu  ya  upendo  wake  mkuu,  Mungu alimtuma  Yesu  ili  uweze  kupatikana,  uponywe,  upatanishwe  naye, na  matumaini  yako  yarejeshwe.  Wokovu  unahusu  mabadiliko— mabadiliko yanayowezekana kwa  sababu ya jinsi  Mungu anavyonipenda mimi na wewe. Si  tu kwamba wokovu  unahusu  mabadiliko, lakini pia unahusu maisha  yako  ya kila siku  na Mungu.  Katika Maandiko  yote, kila wakati  watu  walipokutana  na  Mungu, kulitokea  mabadiliko. Abramu  alibadilishwa  na  kuwa  Abrahamu  (Mwanzo  17:5).  Sarai alibadilishwa  na  kuwa  Sara  (Mwanzo  17:15)  Yakobo  alibadilishwa na  kuwa  Israeli  (Mwanzo  32:28)  Simoni  alibadilishwa  na  kuwa Petro      (Yohana  1:42).   

Sauli  alibadilishwa  na  kuwa  Paulo  (Matendo 13:9).  Na  si  majina  pekee  yaliyobadilishwa—    bali  hata  mwelekeo wa maisha yao  ulibadilika.  Mchungaji  alibadilishwa  na kuwa mfalme.  Mtoro  alibadilishwa  na  kuwa  kiongozi  wa  taifa.  Wavuvi walifanyika wanafunzi. Farisayo alifanyika mtume. Lakini  ni  muhimu  kutambua  kwamba,  pamoja  na  Paulo,  Mungu alipoyabadilisha maisha ya wanaume na wanawake hawa, walikuwa tayari  kuwa watu  wapya kama Mungu alivyowaumba wawe. Daudi hakutembea  huku  na  kule  na  akili  ya  mvulana  mchunga  mifugo; alipokea  wajibu  wake  wa  kuwa  mfalme.  Musa  hakujificha  tena kwa  kumwogopa  Farao;  alitangaza  kwa  ujasiri,  “Wape  ruhusa watu  wangu  ili  waende!”  Petro  hakuogopa  sasa;  alisimama  na akahubiria  maelfu  ya  watu  Siku  ya  Pentekoste.  Kila  mtu  alipokea kile  Mungu  alichofanya—na  kile  alichokuwa  anafanya—katika maisha  yao . . . na wewe unaweza kufanya hivyo.
Kusema kweli, ikiwa hutakipokea,  utasumbuka  wakati  wote  na kuishi  maisha ya kiwango cha chini, yasiyosisimua  kamwe, yasiyo na nguvu kinyume na yale maisha yaliyo yako katika Yesu. Nataka  nikuulize  maswali  kadhaa:  Je,  unaamini  Mungu anakupenda  bila  masharti  yoyote?  Je,  unaamini  umesamehewa dhambi  zako  ZOTE?  Je,  unaamini  kwamba  umekuwa  kiumbe kipya na una moyo na roho mpya? Je, umejikubali? Je, unajipenda? Je, unaamini kwamba kuna mambo ya kusisimua mbele yako? Ikiwa unaamini mambo haya, basi acha nikupongeze  kwa sababu  uko  njiani  kuyafikia  mambo  mazuri  ajabu.  Ikiwa  huyaamini mambo  haya,  basi  wakati  umefika  wa  kulisoma  Neno  la  Mungu mpaka  uweze  kuyaamini.  Amini  ahadi  zilizo  katika  Neno  la Mungu kuliko kuamini  jinsi  unavyohisi,  na usikate  tamaa  hadi upate  ushindi.  Geuza upya nia yako uanze kuwa na uhalisia wa kiumbe kipya.  Mambo kama vile  wewe  ni haki ya  Mungu katika Kristo!  Umehesabiwa  haki  na  kutakaswa  kupitia  damu  ya  Yesu!

Una talanta  na uwezo uliopewa na Mungu!  Mungu  anaishi  ndani yako na hatakuacha wala kukupungukia!  Utakapotambua  kwamba u mtu  mpya, una matumaini mapya. Jinsi ulivyokuwa zamani, makosa uliyokuwa ukifanya,  mambo yasiyokuwa ya  haki  yaliyotokea  kwako,  matatizo  uliyokuwa  ukikumbana nayo— mambo hayo hayana  haja  ya  kuendelea  kukufunga.  Usitembee huku  ukijiambia  Nina  tatizo la  hasira.  Siwezi kudhibiti  hasira  yangu. Hapana,  hivyo ndivyo ulivyokuwa zamani. Mungu amekubadilisha ndani, na unageuzwa  kwa nguvu zake zilizo ndani yako. Sasa  wewe ni mtu  aliyejaa amani na furaha  ya Bwana. Kubali  kuwa mtu huyo. Tunaanza kwa  kuamini  habari njema ya Injili, na kisha  tunageuza upya  nia  zetu  kwa  kusoma  Neno  la  Mungu,  na  kuanza  kuishi  katika uhalisia wa jinsi tulivyo wapya katika Kristo. Badala  ya kuishi  huku ukijichukulia kuwa mwathiriwa,  na kujiambia  Mmm, siwezi kumwamini mtu yeyote. Siwezi kuwa na uhusiano mzuri kwa sababu ya makosa  niliyofanya huko nyuma, au mimi si  mzuri, pokea  nguvu  za  Mungu  za  uponyaji  maishani  mwako.  Wewe  u  mtu mpya. Anaponya  kila jeraha  na anakurejeshea  kile  ulichopoteza. Kusema kweli,  anaenda  kukupatia  baraka  maradufu  kwa vitu vilivyochukuliwa  kwako  (Isaya  61:7).

Ikiwa  uliumizwa  huko  nyuma, hiyo haikufanyi uwe  mwathiriwa  maisha yako yote. Unaweza kushinda  uchungu  huo  na  ukaishi  maisha  mazuri,  ya  ushindi.  Wewe ni kiumbe  kipya  katika  Kristo, umejaa  nguvu mpya  na matumaini mapya.
Kumbuka, historia yako si hatima yako! Unaweza  kuishi  kila siku kwa ujasiri huku ukijua kwamba una  nguvu zaidi ya ulivyokuwa  zamani, kwa sababu kila siku Mungu anafanya kazi  kubwa  maishani mwako.  Hiyo haimaanishi  umekamilisha kila kitu unachotaka kukamilisha,  na haimaanishi  sasa  unafanya kila kitu kwa ukamilifu, lakini inamaanisha  unaweza Unaweza kuishi kila siku kwa ujasiri huku ukijua kwamba una nguvu zaidi ya ulivyokuwa zamani, kwa sababu kila siku Mungu anafanya kazi kubwa maishani mwako. kuwa  na  matumaini  mapya. 

Natumaini hiyo  inakuhamasisha kusema, kama Paulo: “Si kwamba nimekwisha kufika,  au  nimekwisha  kuwa  mkamilifu;  la!  Bali  nakaza  mwendo  ili nipate  kulishika  lile  ambalo  kwa ajili yake nimeshikwa  na Kristo Yesu” (Wafilipi 3:12). Usiishi  siku  moja nyingine na kusema  “Siwezi kufanya hivi,” “Sitafaulu,”  au  “Mimi  si mzuri vile.” Haya  ni maneno  yasiyokuwa na matumaini. Pengine  mambo hayo yalikuwa yanaelezea  jinsi ulivyokuwa zamani, lakini kwa kweli  hayaelezei  jinsi ulivyo mtu mpya  katika  Kristo.  Wewe  ni  mwana  wa  Mungu.  Wewe  ni  zaidi ya  mshindi. 

Wewe  ni  kichwa  na  si  mkia.  Wewe  ni  haki  ya  Mungu katika  Kristo  Yesu.  Yeye  aliye  ndani  yenu  (yako)  ni  mkuu  kuliko yeye aliye katika dunia.  njema  ya  Injili.  Ukiwa  peke yako, ulikuwa umepotea, umepondeka, na mbali na Mungu,  na bila  matumaini.  Lakini  kwa  sababu  ya  upendo  wake  mkuu,  Mungu alimtuma  Yesu  ili  uweze  kupatikana,  uponywe,  upatanishwe  naye, na  matumaini  yako  yarejeshwe.  Wokovu  unahusu  mabadiliko— mabadiliko yanayowezekana kwa  sababu ya jinsi  Mungu anavyonipenda mimi na wewe. Si  tu kwamba wokovu  unahusu  mabadiliko, lakini pia unahusu maisha  yako  ya kila siku  na Mungu.  Katika Maandiko  yote, kila wakati  watu  walipokutana  na  Mungu, kulitokea  mabadiliko. Abramu  alibadilishwa  na  kuwa  Abrahamu  (Mwanzo  17:5).  Sarai alibadilishwa  na  kuwa  Sara  (Mwanzo  17:15)  Yakobo  alibadilishwa na  kuwa  Israeli  (Mwanzo  32:28)  Simoni  alibadilishwa  na  kuwa Petro      (Yohana  1:42).    Sauli  alibadilishwa  na  kuwa  Paulo  (Matendo 13:9).  Na  si  majina  pekee  yaliyobadilishwa—    bali  hata  mwelekeo wa maisha yao  ulibadilika.  Mchungaji  alibadilishwa  na kuwa mfalme.  Mtoro  alibadilishwa  na  kuwa  kiongozi  wa  taifa.  Wavuvi walifanyika wanafunzi. Farisayo alifanyika mtume. Lakini  ni  muhimu  kutambua  kwamba,  pamoja  na  Paulo,  Mungu alipoyabadilisha maisha ya wanaume na wanawake hawa, walikuwa tayari  kuwa watu  wapya kama Mungu alivyowaumba wawe. Daudi hakutembea  huku  na  kule  na  akili  ya  mvulana  mchunga  mifugo; alipokea  wajibu  wake  wa  kuwa  mfalme.  Musa  hakujificha  tena kwa  kumwogopa  Farao;  alitangaza  kwa  ujasiri,  “Wape  ruhusa watu  wangu  ili  waende!”  Petro  hakuogopa  sasa;  alisimama  na akahubiria  maelfu  ya  watu  Siku  ya  Pentekoste.  Kila  mtu  alipokea kile  Mungu  alichofanya—na  kile  alichokuwa  anafanya—katika maisha  yao . . . na wewe unaweza kufanya hivyo.
Kusema kweli, ikiwa hutakipokea,  utasumbuka  wakati  wote  na kuishi  maisha ya kiwango cha chini, yasiyosisimua  kamwe, yasiyo na nguvu kinyume na yale maisha yaliyo yako katika Yesu. Nataka  nikuulize  maswali  kadhaa:  Je,  unaamini  Mungu anakupenda  bila  masharti  yoyote?  Je,  unaamini  umesamehewa dhambi  zako  ZOTE?  Je,  unaamini  kwamba  umekuwa  kiumbe kipya na una moyo na roho mpya? Je, umejikubali? Je, unajipenda? Je, unaamini kwamba kuna mambo ya kusisimua mbele yako? Ikiwa unaamini mambo haya, basi acha nikupongeze  kwa sababu  uko  njiani  kuyafikia  mambo  mazuri  ajabu.  Ikiwa  huyaamini mambo  haya,  basi  wakati  umefika  wa  kulisoma  Neno  la  Mungu mpaka  uweze  kuyaamini.  Amini  ahadi  zilizo  katika  Neno  la Mungu kuliko kuamini  jinsi  unavyohisi,  na usikate  tamaa  hadi upate  ushindi.  Geuza upya nia yako uanze kuwa na uhalisia wa kiumbe kipya.  Mambo kama vile  wewe  ni haki ya  Mungu katika Kristo!  Umehesabiwa  haki  na  kutakaswa  kupitia  damu  ya  Yesu!
Una talanta  na uwezo uliopewa na Mungu!  Mungu  anaishi  ndani yako na hatakuacha wala kukupungukia!  Utakapotambua  kwamba u mtu  mpya, una matumaini mapya. Jinsi ulivyokuwa zamani, makosa uliyokuwa ukifanya,  mambo yasiyokuwa ya  haki  yaliyotokea  kwako,  matatizo  uliyokuwa  ukikumbana nayo— mambo hayo hayana  haja  ya  kuendelea  kukufunga.  Usitembee huku  ukijiambia  Nina  tatizo la  hasira.  Siwezi kudhibiti  hasira  yangu. Hapana,  hivyo ndivyo ulivyokuwa zamani. Mungu amekubadilisha ndani, na unageuzwa  kwa nguvu zake zilizo ndani yako. Sasa  wewe ni mtu  aliyejaa amani na furaha  ya Bwana. Kubali  kuwa mtu huyo. Tunaanza kwa  kuamini  habari njema ya Injili, na kisha  tunageuza upya  nia  zetu  kwa  kusoma  Neno  la  Mungu,  na  kuanza  kuishi  katika uhalisia wa jinsi tulivyo wapya katika Kristo. Badala  ya kuishi  huku ukijichukulia kuwa mwathiriwa,  na kujiambia  Mmm, siwezi kumwamini mtu yeyote. Siwezi kuwa na uhusiano mzuri kwa sababu ya makosa  niliyofanya huko nyuma, au mimi si  mzuri, pokea  nguvu  za  Mungu  za  uponyaji  maishani  mwako.  Wewe  u  mtu mpya. Anaponya  kila jeraha  na anakurejeshea  kile  ulichopoteza. Kusema kweli,  anaenda  kukupatia  baraka  maradufu  kwa vitu vilivyochukuliwa  kwako  (Isaya  61:7).

Ikiwa  uliumizwa  huko  nyuma, hiyo haikufanyi uwe  mwathiriwa  maisha yako yote. Unaweza kushinda  uchungu  huo  na  ukaishi  maisha  mazuri,  ya  ushindi.  Wewe ni kiumbe  kipya  katika  Kristo, umejaa  nguvu mpya  na matumaini mapya.
Kumbuka, historia yako si hatima yako! Unaweza  kuishi  kila siku kwa ujasiri huku ukijua kwamba una  nguvu zaidi ya ulivyokuwa  zamani, kwa sababu kila siku Mungu anafanya kazi  kubwa  maishani mwako.  Hiyo haimaanishi  umekamilisha kila kitu unachotaka kukamilisha,  na haimaanishi  sasa  unafanya kila kitu kwa ukamilifu, lakini inamaanisha  unaweza Unaweza kuishi kila siku kwa ujasiri huku ukijua kwamba una nguvu zaidi ya ulivyokuwa zamani, kwa sababu kila siku Mungu anafanya kazi kubwa maishani mwako. kuwa  na  matumaini  mapya. 

Natumaini hiyo  inakuhamasisha kusema, kama Paulo: “Si kwamba nimekwisha kufika,  au  nimekwisha  kuwa  mkamilifu;  la!  Bali  nakaza  mwendo  ili nipate  kulishika  lile  ambalo  kwa ajili yake nimeshikwa  na Kristo Yesu” (Wafilipi 3:12). Usiishi  siku  moja nyingine na kusema  “Siwezi kufanya hivi,” “Sitafaulu,”  au  “Mimi  si mzuri vile.” Haya  ni maneno  yasiyokuwa na matumaini. Pengine  mambo hayo yalikuwa yanaelezea  jinsi ulivyokuwa zamani, lakini kwa kweli  hayaelezei  jinsi ulivyo mtu mpya  katika  Kristo.  Wewe  ni  mwana  wa  Mungu.  Wewe  ni  zaidi ya  mshindi. 

Wewe  ni  kichwa  na  si  mkia.  Wewe  ni  haki  ya  Mungu katika  Kristo  Yesu.  Yeye  aliye  ndani  yenu  (yako)  ni  mkuu  kuliko yeye aliye katika dunia.

No comments:

Post a Comment